Dyslexia Jewels Podcast Guest today all the way from Kenya, Africa! Nancy Munyi Director of…
- 24 November 2024
- 0 Comments
Huku kampeni ya kufahamu ugonjwa dyslexia ikifanyika mwezi huu, shirika la dyslexia chini kenya limeshirikiana na chuo kikuu cha mount kenya katika kutoa mafunzo kwa walimu, wazazi na jamii yote kwa jumla kupitia kozi ya dyslexia ili kuelewa jinsi ya kuwafunza wanafunzi wanaopitia ugumu katika kusoma na kuandika shuleni.Akizungumza wakati wa 2024 kongamano la africa dyslexia summit lilofanyika katika chuo kikuu cha mku, phyllis munyi ambaye ni mwanzilishi wa shirika hili ametaja baadhi ya mbinu wanazotumia katika shule ya rare gem talent iliyoko kitengela katika kuwaelimisha wanafunzi. Kwa upande wake, agustine mumo ambaye ni mwalimu katika shule hiyo, ameeleza changamoto wanazopitia katika kutekeleza juhudi za kuelimisha, huku akitoa wito kwa walimu kujielimisha zaidi kuhusu hali hii
Share This:
Related Posts
Mark Stoddart: I was given a chance, and that's why I am supporting Dyslexia students…
Nancy Munyi, the Founder and Director of Rare Gem Talent School shares her passion with…
In 2000, my five year old son joined pre-unit, his teacher happened to be his…
Special education around the world is continuously changing. Educators, health professionals scientists continue to learn…
The duo have their first international guest! Nancy Munyi of Kenya tells her story.
Nancy is the Co-founder of Dyslexia Organization Kenya. This organization plays a crucial role in…
Huku kampeni ya kufahamu ugonjwa dyslexia ikifanyika mwezi huu, shirika la dyslexia chini kenya limeshirikiana…