With our growing culture to build a World Class Organisation dedicated to helping dyslexic people in Kenya by creating dyslexia awareness among all the community members and enrich, we appreciate your effort. Thus we would like your help.
Working Hours : Monday - Friday, 8am - 5pm
Copyright © 2024. All Rights Reserved.

Huku kampeni ya kufahamu ugonjwa dyslexia ikifanyika mwezi huu, shirika la dyslexia chini kenya limeshirikiana na chuo kikuu cha mount kenya katika kutoa mafunzo kwa walimu, wazazi na jamii yote kwa jumla kupitia kozi ya dyslexia ili kuelewa jinsi ya kuwafunza wanafunzi wanaopitia ugumu katika kusoma na kuandika shuleni.Akizungumza wakati wa 2024 kongamano la africa dyslexia summit lilofanyika katika chuo kikuu cha mku, phyllis munyi ambaye ni mwanzilishi wa shirika hili ametaja baadhi ya mbinu wanazotumia katika shule ya rare gem talent iliyoko kitengela katika kuwaelimisha wanafunzi. Kwa upande wake, agustine mumo ambaye ni mwalimu katika shule hiyo, ameeleza changamoto wanazopitia katika kutekeleza juhudi za kuelimisha, huku akitoa wito kwa walimu kujielimisha zaidi kuhusu hali hii

Related Posts

Chat on WhatsApp